Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League) inaingia katika hatua ya mkondo wa pili wa robo fainali wiki hii, ambapo vigogo wa soka barani Ulaya wanatarajiwa kupigania nafasi ya kusonga mbele hadi nusu fainali baada ya mechi za mkondo wa kwanza kutoa ushindani mkali na matokeo ya kusisimua.
Arsenal wanaingia katika mechi ya marudiano wakiwa na faida nyembamba ya bao 1–0..... download Xtra 90 App



