Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameendelea kuandika historia barani Ulaya baada ya kufunga bao lake la kwanza akiwa na klabu ya Le Havre AC katika Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1).
Samatta alifunga bao hilo jana Jumapili, Aprili 12, 2026, katika mchezo uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 dhidi ya OGC Nice, uliochezwa katika Uwanja wa Allianz..... download Xtra 90 App



