Yanga kuizidi ujanja Azam Fc kwa Akaminko?

Joel JJ By Joel JJ • 13th April 2026


Yanga kuizidi ujanja Azam Fc kwa Akaminko?

Klabu ya Yanga SC ya Dar es Salaam inaripotiwa kuanza mchakato wa kumnasa kiungo mkabaji wa Azam FC raia wa Ghana, James Akaminko, ambaye mkataba wake na klabu hiyo unaelekea ukingoni.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya tasnia ya usajili, Yanga imeanza mazungumzo ya awali ikiwa na lengo la kumsajili kiungo huyo mwenye uzoefu mkubwa katika Ligi Kuu Tanzania Bara, katika harakati za..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →