Klabu ya Yanga SC ya Dar es Salaam inaripotiwa kuanza mchakato wa kumnasa kiungo mkabaji wa Azam FC raia wa Ghana, James Akaminko, ambaye mkataba wake na klabu hiyo unaelekea ukingoni.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya tasnia ya usajili, Yanga imeanza mazungumzo ya awali ikiwa na lengo la kumsajili kiungo huyo mwenye uzoefu mkubwa katika Ligi Kuu Tanzania Bara, katika harakati za..... download Xtra 90 App



