Klabu ya Manchester United imepata kichapo kizito baada ya kufungwa mabao 2-1 na Leeds United katika mchezo uliobadilisha mwelekeo wa msimamo wa Premier League kwa pande zote mbili.
Kwa upande wa United, matokeo hayo yanaumiza zaidi kutokana na mazingira ya mchezo, ambapo walilazimika kumaliza wakiwa pungufu baada ya mchezaji mmoja kutolewa kwa kadi nyekundu. Kipigo hicho kimewafanya..... download Xtra 90 App



