Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

KMC, Tanzania Prisons uso kwa uso vita ya kushuka daraja

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Apr 2026
KMC, Tanzania Prisons uso kwa uso vita ya kushuka daraja

Ligi Kuu ya NBC inazidi kuchanja mbuga ambapo leo mechi za raundi ya 19 zinatarajiwa kupigwa.

KMC wanaoburuza mkia kwenye msimamo wa ligi wanakutana na Tanzania Prisons ambao wanashikilia nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi.

Ni mechi ambayo kila timu inahitaji matokeo ili kujiimarisha katika vita ya mkiani wa msimamo.

Hata hivyo ni KMC wenye hali mbaya zaidi wakikusanya alama 8 tu kutoka mechi 18.

More Stories

Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
Ngorongoro Heroes yatangulia nusu fainali CECAFA U20 kwa kishindo
29m ago
READ MORE β†’
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
Samatta afunga bao lake la pili, Le Havre ikipoteza
29m ago
READ MORE β†’
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
Salah hakamatiki Uturuki, apiga hat-trik Trabzonspor ikiifumua Galatasaray 4-0
1h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
Azam Fc yaonywa, Yanga yakumbana na faini - Kamati ya saa 72
1h ago
READ MORE β†’
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
Mshambuliaji wa zamani Yanga aibukia Zambia
2h ago
READ MORE β†’
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
Barcelona yaendeleza kichapo Laliga ikimfunga Sevilla, Raphinha hashikiki.
9h ago
READ MORE β†’
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
14h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
14h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
16h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
16h ago
READ MORE β†’