Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba SC, Ahmed Ali, amethibitisha kuwa uongozi wa klabu umefikia uamuzi wa kumrudisha mshambuliaji huyo kwenye programu ya vijana baada ya kusimamishwa kutokana na tuhuma za utovu wa nidhamu.
Kwa mujibu wa klabu, Sowah alisimamishwa akiwa kambini mwezi Machi wakati timu ilipokuwa Dodoma ikijiandaa na mchezo wa ligi dhidi ya Dodoma Jiji FC,..... download Xtra 90 App



