Maandalizi ya kikosi cha Young Africans SC kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City FC yanaendelea kwa umakini mkubwa, huku klabu hiyo ikisisitiza dhamira ya kuendeleza ubora wake katika mbio za ubingwa.
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe, amesema maandalizi ya mchezo huo unaotarajiwa kupigwa Alhamisi Aprili 16 katika Uwanja wa KMC Complex yako katika..... download Xtra 90 App



