Mwamuzi wa Ligi Kuu England, Anthony Taylor, ameteuliwa kuchezesha pambano la kusisimua kati ya Manchester City na Arsenal FC litakalopigwa Aprili 19 katika dimba la Etihad.
Mchezo huo unaelezwa kuwa na uzito mkubwa katika mbio za ubingwa wa Premier League, huku timu hizo mbili zikiwa vinara wa ushindani mkali msimu huu.
Arsenal wanaongoza msimamo wa ligi wakiwa na pointi 70 baada..... download Xtra 90 App



