Klabu ya Paris Saint-Germain imeandika historia mpya baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Liverpool katika dimba la Anfield, na kufuzu hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League kwa ubora mkubwa.
Mchezo huo ulikuwa wa kipekee kwa PSG, ambao waliidhibiti Liverpool katika mechi zote mbili za robo fainali bila kuruhusu bao lolote , jambo ambalo halijawahi kutokea dhidi ya..... download Xtra 90 App



