Tiketi zote zimeuzwa kuelekea mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Mamelodi Sundowns na Espérance Sportive de Tunis utakaochezwa Jumamosi, Aprili 18, Loftus Versfeld jijini Pretoria.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi za klabu, uwanja unatarajiwa kujaa mashabiki, hali inayoashiria presha kubwa na ushindani mkali katika pambano hilo la kuwania tiketi ya kucheza..... download Xtra 90 App



