Dirisha la usajili linazidi kunoga huku vilabu vikubwa Ulaya vikianza kuchukua hatua za mwisho kuelekea majira ya kiangazi. Hizi hapa ni tetesi kuu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya michezo:
Barcelona Wasita Kumchukua Rashford
Kwa mujibu wa Marca, FC Barcelona bado hawana uhakika kama watailipa Manchester United euro milioni 30 ili kumsajili Marcus Rashford kwa mkataba wa..... download Xtra 90 App



