Klabu ya Zamalek SC imefanikiwa kutinga fainali ya CAF Confederation Cup baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya CR Belouizdad katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali.
Mchezo huo uliochezwa Ijumaa jijini Cairo uliwakutanisha wababe hao wa Afrika Kaskazini, huku Zamalek wakitumia vyema ushindi wao wa awali wa bao 1-0 walioupata ugenini nchini Algeria, matokeo yaliyowapa faida ya..... download Xtra 90 App



