Klabu ya Mamelodi Sundowns imefanikiwa kutinga fainali ya CAF Champions League 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Espérance Sportive de Tunis katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali uliopigwa katika Uwanja wa Loftus Versfeld Stadium.
Ushindi huo umeifanya Sundowns kufuzu kwa jumla ya mabao 2-0, kufuatia ushindi wa 1-0 walioupata ugenini nchini Tunisia katika..... download Xtra 90 App



