Klabu ya AS FAR Rabat imefanikiwa kutinga fainali ya CAF Champions League 2026 licha ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya RSB Berkane katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali uliochezwa Jumamosi Aprili 18, 2026.
Matokeo hayo hayakuizuia AS FAR kufuzu hatua ya fainali, kwani ilitinga kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1, kufuatia ushindi wa mabao 2-0 walioupata katika mchezo wa..... download Xtra 90 App



