Klabu ya Chelsea FC imeendelea kuporomoka katika Ligi Kuu England baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Manchester United katika mchezo uliopigwa Aprili 18, 2026, dimbani Stamford Bridge.
Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na mshambuliaji Matheus Cunha dakika ya 43, akimalizia pasi ya nahodha Bruno Fernandes. Ushindi huo ulikuwa muhimu kwa Manchester United katika mbio za kufuzu..... download Xtra 90 App



