Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Singida BS

Ratiba kombe la Muungano 2026 yatangazwa

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Apr 2026
Ratiba kombe la Muungano 2026 yatangazwa

Michuano ya kombe la Muungano inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Jumanne, April 21 ratiba ya michuano hiyo ikiwekwa hadharani leo.

Mabingwa watetezi wa michuano hiyo Yanga watashuka dimbani Jumanne kumenyana na M/Makumbi mchezo utakaopigwa saa 1:15 usiku.

Kama Yanga itatinga nusu fainali, katika hatua hiyo itakutana na mshindi wa mchezo kati ya KVZ dhidi ya Azam Fc.

Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Simba itashuka dimbani Alhamisi, April 23 kuikabili Mafunzo Fc mchezo utakaopigwa saa 2:15 usiku.

Endapo Simba itavuka hatua hiyo, nusu fainali itacheza na mshindi kati ya Mlandege Fc dhidi ya Singida BS.

Hii hapa ratiba kamili;

More Stories

Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
Mamelodi Sundowns yaibuka kidedea mbele ya Al Ahli
4h ago
READ MORE β†’
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
Arsenal yaduwazwa 3-0 na Brighton
4h ago
READ MORE β†’
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
Nyota Stars waingia kambini tayari kwa mechi za kufuzu Afcon 2027
6h ago
READ MORE β†’
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
Simba kujichimbia Afrika Kusini kujiandaa na Kariakoo Derby
7h ago
READ MORE β†’
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
Madrid Derby: Atletico na Real kwenye vita ya majirani
10h ago
READ MORE β†’
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
Hii hapa rekodi tamu ya Barker Ligi Kuu
12h ago
READ MORE β†’
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
Sundowns kuchuana na Al Ahli katika vita ya Afrika na Asia
13h ago
READ MORE β†’
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
Ft: Yanga 1-0 St George, Yanga yapata ushindi mechi ya kirafiki.
1d ago
READ MORE β†’
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
Dockers Derby yarudi baada ya miaka 14, Ulinzi wa London ukiimarishwa.
1d ago
READ MORE β†’
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
Kocha Dimitar Pantev ateuliwa kuwa kocha mpya wa Richard Bay.
1d ago
READ MORE β†’