Soko la usajili linaendelea kushika kasi huku vilabu vikubwa Ulaya vikianza kuweka wazi mipango yao ya majira ya kiangazi. Hizi hapa ni tetesi kuu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya habari za michezo:
Bayern Munich Wamuwania Morgan Rogers
Kwa mujibu wa Football Insider, Bayern Munich wamejiunga na Chelsea FC na Manchester United katika mbio za kumsajili Morgan Rogers kutoka Aston..... download Xtra 90 App



