Klabu ya Bayern Munich imethibitisha ubabe wake nchini Ujerumani baada ya kutwaa rasmi taji la Bundesliga msimu wa 2025/26, ikiendeleza rekodi ya mafanikio makubwa katika ligi hiyo.
Hii ni mara ya 13 kwa Bayern kushinda taji hilo katika misimu 14 iliyopita, kuanzia mwaka 2012 hadi sasa, jambo linaloonyesha wazi utawala wao usiotetereka katika soka la Ujerumani. Msimu pekee waliokosa..... download Xtra 90 App



