Klabu ya Chelsea inaripotiwa kukumbwa na hali ngumu ya ndani, huku mustakabali wa kocha Liam Rosenior ukiwa mashakani kufuatia mwenendo mbaya wa timu hiyo katika siku za hivi karibuni.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka TEAMtalk, kuna hali ya kutoridhika ndani ya kikosi, hasa kutokana na ukosefu mkubwa wa mabao kutoka kwa safu ya ushambuliaji. Wachezaji kadhaa waliosajiliwa kwa gharama kubwa..... download Xtra 90 App



