Harakati za usajili barani Ulaya zinaendelea kushika kasi huku vilabu vikubwa vikisaka kuimarisha vikosi vyao kabla ya dirisha la majira ya kiangazi kufunguliwa. Hizi hapa ni tetesi kuu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya michezo:
Bergvall Awaniwa na Arsenal na Chelsea
Kwa mujibu wa CaughtOffside, kiungo wa Tottenham Hotspur Lucas Bergvall anafuatiliwa na vilabu kadhaa, huku..... download Xtra 90 App



