Klabu ya Simba SC imeendelea kusalia miongoni mwa klabu 10 bora katika viwango vya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), licha ya msimu wake wa changamoto kwenye michuano ya CAF Champions League.
Simba ilimaliza hatua ya makundi ikiwa nafasi ya nne Kundi D, matokeo ambayo yaliwakatisha tamaa baadhi ya mashabiki waliotarajia mafanikio makubwa zaidi msimu huu...... download Xtra 90 App



