Klabu ya Wolverhampton Wanderers (Wolves) imethibitishwa rasmi kushuka daraja kutoka Premier League baada ya matokeo ya michezo ya Aprili 20, 2026 kuondoa kabisa matumaini yao ya kubaki ligi kuu.
Hatua hiyo imekuja kufuatia sare ya bila kufungana kati ya West Ham United na Crystal Palace, matokeo yaliyofanya tofauti ya pointi kati ya Wolves na nafasi salama kuwa kubwa zaidi ya idadi ya..... download Xtra 90 App



