Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba SC, Elie Mpanzu, ameendelea kuonyesha kiwango bora katika mechi za karibuni, akifunga mabao muhimu na kutoa pasi za mabao, huku akisisitiza azma yake ya kurejea katika kikosi cha kwanza.
Mpanzu, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amejikuta akipoteza nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza kufuatia ujio wa washambuliaji wapya



