Klabu ya Singida BS imejitokeza na kutoa msimamo wake kuhusu mvutano unaoendelea kati ya Yanga na baadhi ya wachambuzi wa soka nchini, ikisisitiza umuhimu wa kulinda heshima ya klabu na taswira ya ligi kwa ujumla.
Akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kuelekea Zanzibar, msemaji wa Singida BS, Hussein Massanza, ameipongeza Yanga SC kwa kuchukua hatua kali za kisheria dhidi..... download Xtra 90 App



