Dirisha la usajili linazidi kukaribia na vilabu vikubwa barani Ulaya vinaendelea kupanga mikakati ya kuimarisha vikosi vyao. Hizi hapa ni tetesi kuu za leo kutoka vyanzo mbalimbali vya michezo:
Arsenal na Barcelona Wamuwania Bernardo Silva
Kwa mujibu wa ESPN Brazil, Arsenal FC na FC Barcelona zinaangalia uwezekano wa kumsajili Bernardo Silva iwapo ataondoka Manchester City..... download Xtra 90 App



