Dirisha la usajili linazidi kunoga huku vilabu vikubwa Ulaya vikihaha kusaka vipaji, kuboresha vikosi, na kupanga mustakabali wa makocha wao. Leo Jumatatu, tetesi zimejaa ushindani mkali, majina makubwa, na mipango ya kushangaza. Hizi hapa habari kuu
Newcastle yaingia kwenye mbio za Nicolas Jackson



