Dirisha la usajili linazidi kushika kasi huku vilabu vikianza kufanya maamuzi mazito kuanzia kuuza nyota hadi kupanga makocha wapya. Leo Jumanne, Aprili 28, tetesi zimejaa drama, ushindani wa vigogo, na mipango ya kushangaza barani Ulaya
Dirisha la usajili linazidi kushika kasi huku vilabu vikianza kufanya maamuzi mazito kuanzia kuuza nyota hadi kupanga makocha wapya. Leo Jumanne, Aprili 28, tetesi zimejaa drama, ushindani wa vigogo, na mipango ya kushangaza barani Ulaya