Klabu ya Manchester United imeongeza matumaini ya kumaliza katika nafasi za juu za Premier League baada ya ushindi muhimu wa mabao 2-1 dhidi ya Brentfordkatika mchezo uliopigwa Old Trafford Jumatatu usiku.
Ushindi huo umeifanya Manchester United kujiimarisha katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi, alama tatu mbele ya Liverpool hatua inayowaweka karibu zaidi kufuzu kucheza michuano..... download Xtra 90 App



