Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amefunguka kuhusu falsafa yake ya kipekee ya kuwapa wachezaji mapumziko marefu, akiamini kuwa hatua hiyo ndiyo silaha muhimu katika mbio za kuwania mataji matatu msimu huu.
City wanaingia katika kipindi kigumu cha mwisho wa msimu wakiwa na matumaini ya kutwaa mataji matatu, baada ya kufuzu fainali ya FA Cup kufuatia ushindi dhidi ya Southampton...... download Xtra 90 App



