Guardiola afafanua siri ya mapumziko anayotoa kwa wachezaji

Joel JJ By Joel JJ • 28th April 2026


Guardiola afafanua siri ya mapumziko anayotoa kwa wachezaji

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amefunguka kuhusu falsafa yake ya kipekee ya kuwapa wachezaji mapumziko marefu, akiamini kuwa hatua hiyo ndiyo silaha muhimu katika mbio za kuwania mataji matatu msimu huu.

City wanaingia katika kipindi kigumu cha mwisho wa msimu wakiwa na matumaini ya kutwaa mataji matatu, baada ya kufuzu fainali ya FA Cup kufuatia ushindi dhidi ya Southampton...... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →