PSG yaichapa Bayern katika mvua ya magoli UEFA nusu fainali

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media • 29th April 2026


PSG yaichapa Bayern katika mvua ya magoli UEFA nusu fainali

Mchezo wa kusisimua na wa kihistoria umechezwa katika dimba la Parc des Princes, ambapo PSG waliibuka na ushindi wa mabao 5-4 dhidi ya Bayern Munich. Pambano hilo lilikuwa na kasi kubwa na ushindani mkali tangu dakika za mwanzo, likiwa mojawapo ya mechi zenye burudani kubwa katika hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League.

Bayern Munich walikuwa wa kwanza kufunga kupitia Harry Kane..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →