Mchezo wa kusisimua na wa kihistoria umechezwa katika dimba la Parc des Princes, ambapo PSG waliibuka na ushindi wa mabao 5-4 dhidi ya Bayern Munich. Pambano hilo lilikuwa na kasi kubwa na ushindani mkali tangu dakika za mwanzo, likiwa mojawapo ya mechi zenye burudani kubwa katika hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League.
Bayern Munich walikuwa wa kwanza kufunga kupitia Harry Kane..... download Xtra 90 App



