Mwamuzi wa kimataifa kutoka Kenya, Dickens Mimisa Nyagrowa, ameteuliwa rasmi kuchezesha mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano kati ya Yanga na Simba utakaopigwa leo katika Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar.
Nyagrowa atasaidiwa na waamuzi wasaidizi Ally Mbwana kutoka Zanzibar pamoja na Yusuph Shombe, pia kutoka Zanzibar. Nafasi ya mwamuzi wa akiba itashikiliwa na Ishaka..... download Xtra 90 App



