Timu ya Atlético Madrid imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Arsenal katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya UEFA Champions League uliochezwa Jumatano usiku, Aprili 29, 2026, katika dimba la Metropolitano Stadium.
Arsenal walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia mshambuliaji Viktor Gyökeres aliyefunga kwa njia ya penalti dakika ya 44 kufuatia faulo ndani ya eneo la hatari. Bao hilo liliwapa..... download Xtra 90 App



