Arsenal yapata sare muhimu ugenini dhidi ya Atletico nusu fainali UEFA CL

Joel JJ By Joel JJ • 30th April 2026


Arsenal yapata sare muhimu ugenini dhidi ya Atletico nusu fainali UEFA CL

Timu ya Atlético Madrid imelazimishwa sare ya bao 1-1 na Arsenal katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya UEFA Champions League uliochezwa Jumatano usiku, Aprili 29, 2026, katika dimba la Metropolitano Stadium.

Arsenal walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia mshambuliaji Viktor Gyökeres aliyefunga kwa njia ya penalti dakika ya 44 kufuatia faulo ndani ya eneo la hatari. Bao hilo liliwapa..... download Xtra 90 App


  


More Stories

Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Hizi 6 za Yanga na Simba ni vipi?
Today, READ MORE →
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Nahodha SC Villa auawa na majambazi Uganda
Today, READ MORE →
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Azam FC yazindua jezi ya nyumbani ya msimu wa 2026/27
Today, READ MORE →
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Infantino aitisha mkutano wa dharura FIFA kufuatia matamshi ya Wenger
Today, READ MORE →
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
BREAKING: Guimaraes atua Arsenal rasmi.
Today, READ MORE →
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Twiga Stars waaga WAFCONkwa kuvunja rekodi ya kihistoria
Today, READ MORE →
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Salah mbioni kutua Trabzonspor
Today, READ MORE →
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Singida BS yasuka upya benchi la ufundi
Today, READ MORE →
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Barcelona yaandaa jaribio la mwisho kumsajili Julian Álvarez
Today, READ MORE →
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Depú huenda akaondoka Yanga, Petro de Luanda yagoma dau
Yesterday, READ MORE →