Klabu ya Simba SC imeanza rasmi mazungumzo na mlinzi wa kulia wa Azam FC Nathaniel Chilambo, katika harakati za kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani, Simba imeweka mkazo kwenye eneo la ulinzi wa pembeni, hasa upande wa kulia, ambako kwa sasa kuna nahodha Shomari Kapombe pamoja na David Kameta.
Hata hivyo, Kameta bado hajafanikiwa kumpa..... download Xtra 90 App



