Klabu ya Real Madrid CF ipo katika kipindi cha kufanya maamuzi kuhusu nani atakuwa kocha mkuu wa kudumu kuelekea msimu ujao, huku majina mawili makubwa yakitajwa zaidi Jürgen Klopp na José Mourinho.
Ripoti za hivi karibuni zinaonyesha kuwa Real Madrid imebakiwa na majina haya mawili kama chaguo kuu la mwisho.
Hii inakuja baada ya msimu usioridhisha..... download Xtra 90 App



