Dirisha la usajili linaendelea kupamba moto huku vilabu vikubwa vikianza kupanga mustakabali wa vikosi vyao kuanzia kushusha nyota wapya na kuwekeza kwa vipaji chipukizi. Leo Jumamosi, Mei 2, 2026, tetesi zimejaa mipango ya muda mrefu, ushindani mkali, na majina makubwa
Barcelona wamvizia Joao Pedro



