Msisimko wa dabi ya Kariakoo unazidi kupamba moto kuelekea pambano kali kati ya Simba SC na Yanga litakalopigwa Jumapili May 03 katika uwanja wa Isamuhyo.
Makocha wa timu zote mbili leo wakifunguka kuhusu maandalizi ya timu zao kuelekea mchezo huo mkubwa wa Ligi Kuu ya NBC.
Gonçalves: Tuko tayari kwa mpango tofauti



