Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) limethibitisha rasmi kuwa droo ya michuano ya kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 itafanyika tarehe 19 Mei 2026, hatua itakayoweka ramani ya safari ya mataifa 48 yanayowania nafasi ya kushiriki fainali za AFCON PAMOJA 2027.
Kwa mujibu wa CAF, droo hiyo itahusisha jumla ya timu 48, ikiwa ni pamoja na wenyeji wenza wa mashindano..... download Xtra 90 App



