Leo Jumamosi, Mei 02, 2026, mashabiki wa soka nchini walishuhudia michezo miwili ya ligi kuu ya NBC, yenye ushindani mkali huku timu zikionyesha dhamira ya kusaka alama muhimu.
Katika dimba la KMC Complex, mapema Mtibwa Sugar walikaribisha Azam FC katika mchezo uliotawaliwa na wageni. Azam FC waliibuka na ushindi mnono wa mabao 3-0, wakionyesha ubora mkubwa kuanzia dakika za mwanzo hadi..... download Xtra 90 App



