Klabu ya FC Porto imetawazwa rasmi kuwa mabingwa wa Primeira Liga kwa mara ya 31 katika historia yao, wakirejea kileleni kwa mara ya kwanza tangu msimu wa 2021/22. Ushindi huu unathibitisha ubabe wao katika soka la Ureno na kuimarisha nafasi yao kama moja ya klabu kubwa zaidi nchini humo.
Ubingwa huu ulithibitishwa baada ya Porto kuibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Alverca,..... download Xtra 90 App



