Local,Normal News,Mashujaa, TRA, Prisons, Mbeya

Ligi Kuu NBC inaendelea leo May 04

Joel JJ By Joel JJ
β€’
4 May 2026
Ligi Kuu NBC inaendelea leo May 04

Baada ya Simba na Yanga kutoana jasho katika mchezo wa ligi kuu kukamilisha raundi ya 20 uliofanyika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo na kumalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2 jana, ligi kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi za raundi ya 21 zitaanza.

Mapema saa 8 Mashujaa Fc watakuwa uwanja wa nyumbani Lake Tanganyika kuwakabili TRA United katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Baadae mchezo huo utafuatiwa na Derby ya mkoani Mbeya, Tanzania Prisons wakiwakaribisha Mbeya City, mchezo utakaopigwa saa 10 jioni.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’