Ligi Kuu ya NBC leo May 05 2026

Joel JJ By Joel JJ β€’ 5th May 2026


Ligi Kuu ya NBC leo May 05 2026

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mzunguuko wa 21 ambapo mechi tatu zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.

Katika uwanja wa Airtel, Mtipa mkoani Singida, wenyeji Singida BS wataikaribisha Pamba Jiji katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Pamba Jiji wako kwenye kiwango bora wakitoka kupata ushindi ugenini dhidi ya Fountain Gate wakati Singida BS wakipoteza mchezo uliopita dhidi ya Coastal Union.

Fountain Gate na Coastal Union nazo zitachuana katika mchezo utakaopigwa majira ya saa 10:15 jioni huku Azam Fc wakitarajiwa kuchuana na Namungo Fc katika mchezo mwingine.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’