Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mzunguuko wa 21 ambapo mechi tatu zinatarajiwa kupigwa katika viwanja mbalimbali.
Katika uwanja wa Airtel, Mtipa mkoani Singida, wenyeji Singida BS wataikaribisha Pamba Jiji katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.
Pamba Jiji wako kwenye kiwango bora wakitoka kupata ushindi ugenini dhidi ya Fountain Gate wakati Singida BS wakipoteza mchezo..... download Xtra 90 App



