Klabu ya Yanga imeanza mapema mipango ya kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao, ikiwa ni pamoja na kusaka kiungo mkabaji mpya atakayeongeza uimara katika eneo la kiungo wa ulinzi.
Kwa mujibu wa taarifa za ndani ya klabu, uongozi wa Yanga umeanza mchakato wa kuwafuatilia wachezaji kadhaa wa kimataifa, huku jina la kiungo wa Klabu ya Zoman FC Mamadou Thierno, likitajwa kuwa miongoni..... download Xtra 90 App



