Miamba ya Ulaya, Arsenal FC na Atletico Madrid, leo zinakutana katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League utakaopigwa katika Uwanja wa Emirates, London.
Timu hizo zinaingia katika mchezo huo zikiwa sare ya bao 1-1 kufuatia matokeo ya mkondo wa kwanza uliochezwa nchini Hispania, hali inayofanya pambano la leo kuwa la wazi kwa kila upande kusaka tiketi ya..... download Xtra 90 App



