Uongozi wa Klabu ya Yanga umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves, raia wa Ureno.
Taarifa hiyo imetolewa muda mfupi baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC uliochezwa katika dimba la KMC Complex, ambapo Yanga iliibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0.
Licha ya kupata alama tatu muhimu, inaelezwa kuwa uongozi wa klabu haukuridhishwa na..... download Xtra 90 App



