Simba SC imefanikiwa kurejea katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya NBC baada ya kuichapa JKT Tanzania bao 1-0 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo ulikuwa mgumu kwa pande zote mbili, ambapo Simba walionekana kutawala mchezo kwa muda mwingi huku JKT Tanzania wakicheza kwa nidhamu ya hali ya juu ya kujilinda..... download Xtra 90 App



