Klabu ya Manchester City Women imetawazwa rasmi kuwa mabingwa wa Women’s Super League msimu wa 2025/26, wakitwaa taji hilo kwa mara ya kwanza baada ya kusubiri kwa takribani miaka 10 tangu ubingwa wao wa mwisho mwaka 2016.
Ubingwa huo ulithibitishwa baada ya Arsenal Women kutoka sare dhidi ya Brighton & Hove Albion Women, matokeo yaliyowafanya Manchester City Women kuhakikisha nafasi ya..... download Xtra 90 App



