Ligi Kuu ya NBC, mechi mbili kupigwa leo May 12

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th May 2026


Ligi Kuu ya NBC, mechi mbili kupigwa leo May 12

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mzunguuko wa 23 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa.

Baada ya ushindi mnono wa mabao 4-0 katika mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar, walima alizeti wa Singida BS watashuka tena uwanja wao wa nyumbani, Airtel Mtipa kuikabili Namungo Fc katika mchezo utakaopigwa saa 8 mchana.

Namungo Fc chini ya kocha Juma Mgunda walilazimishwa suluhu ya bila kufungana kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa Fc.

Bado mambo ni magumu kwa Mgunda na vijana wake kwani wamecheza takribani mechi 12 bila ya ushindi.

Saa 10 jioni TRA United wataikaribisha JKT Tanzania katika mchezo unaotarajiwa kuwa mkali.

Ni vita ya kuwania nne bora, je TRA United wataendeleza ubabe wao Sheikh Amri Abeid baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Azam Fc katika mchezo uliopita?

Hata hivyo ni wazi haitakuwa mechi rahisi mbele ya maafande wa JKT Tanzania ambao msimu huu wameonyesha kuitaka nafasi ya nne iki wapate nafasi ya kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’