Local,Normal News,Singida, Namungo, TRA, JKT

Ligi Kuu ya NBC, mechi mbili kupigwa leo May 12

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 May 2026
Ligi Kuu ya NBC, mechi mbili kupigwa leo May 12

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo mzunguuko wa 23 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa.

Baada ya ushindi mnono wa mabao 4-0 katika mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar, walima alizeti wa Singida BS watashuka tena uwanja wao wa nyumbani, Airtel Mtipa kuikabili Namungo Fc katika mchezo utakaopigwa saa 8 mchana.

Namungo Fc chini ya kocha Juma Mgunda walilazimishwa suluhu ya bila kufungana kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa Fc.

Bado mambo ni magumu kwa Mgunda na vijana wake kwani wamecheza takribani mechi 12 bila ya ushindi.

Saa 10 jioni TRA United wataikaribisha JKT Tanzania katika mchezo unaotarajiwa kuwa mkali.

Ni vita ya kuwania nne bora, je TRA United wataendeleza ubabe wao Sheikh Amri Abeid baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Azam Fc katika mchezo uliopita?

Hata hivyo ni wazi haitakuwa mechi rahisi mbele ya maafande wa JKT Tanzania ambao msimu huu wameonyesha kuitaka nafasi ya nne iki wapate nafasi ya kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’