Baada ya Yanga kukubali kipigo cha mabao 3-2 dhidi ya Dodoma Jiji, wamewapa nafasi watani zao Simba kuwasogelea karibu zaidi kwenye mbio za ubingwa wa ligi kuu msimu huu.
Simba leo itakuwa ugenini mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa Fc katika mchezo unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.
Alama tatu kwa Mnyama zitamaanisha Wekundu hao wa Msimbazi watafikisha alama 52 na hivyo kuwa tofauti..... download Xtra 90 App



