Paris Saint-Germain wameendelea kuthibitisha ubabe wao nchini Ufaransa baada ya kutwaa rasmi ubingwa wa Ligue 1 msimu wa 2025/26 kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Lens usiku wa Jumatano, Mei 13, 2026.
Katika mchezo huo muhimu uliochezwa Stade Bollaert-Delelis, nyota wa kimataifa wa Georgia Khvicha Kvaratskhelia aliifungia PSG bao la kwanza dakika ya 29 kabla ya kinda Ibrahim Mbaye..... download Xtra 90 App



