Azam Fc yaiadhibu Pamba Jiji dakika za jioooni

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th May 2026


Azam Fc yaiadhibu Pamba Jiji dakika za jioooni

Mabao mawili ya dakika za lala salama yameihakikishia Azam Fc kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Azam Complex.

Mabao ya Feisal Salum 'Fei Toto' aliyefunga kwa kichwa dakika ya 90 na Japhet Kitambala aliyefunga dakika 93 yalizima kabisa ndoto ya Pamba Jiji kuondoka na angalau alama moja dimba la Azam Compelex.

Ulikuwa mchezo ambao Azam Fc walitawala kwa muda mwingi lakini nidhamu ya safu ya ulinzi ya Pamba Jiji iliwaweka salama kwa muda mwingi wa mchezo kabla ya kupoteza umakini kwenye dakika za lala salama.

Ushindi huo unaifanya Azam Fc ifikishe alama 46, kimahesabu wamerejea kwenye mbio za ubingwa kwani wako nyuma ya vinara wa ligi hiyo Yanga kwa tofauti ya alama nane.


  

More Stories

Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Azam Fc hiyooo fainali, yaichapa Yanga 3-2 nusu fainali
Today, READ MORE β†’
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Azam Fc 3-2 Yanga, CRDB Cup
Today, READ MORE β†’
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Ni Azam Fc vs Yanga, nani anakwenda fainali kombe la CRDB?
Today, READ MORE β†’
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Liverpool kuongeza dau kumnasa Diomande
Today, READ MORE β†’
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Prisons wamefufua matumaini kusalia ligi kuu
Today, READ MORE β†’
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Tunisia yaaga kombe la Dunia kwa aibu, yapigwa 4-0 na Japan
Today, READ MORE β†’
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Ivory Coast yapoteza dhidi ya Ujerumani dakika za jioni
Today, READ MORE β†’
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Real Madrid yakana kuwasiliana na Olise, wakala wake
Yesterday, READ MORE β†’
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Simba 4-0 Coastal Union, CRDB Cup
Yesterday, READ MORE β†’
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Simba yaifumua Coastal Union 4-0, yatinga fainali ya CRDB Bank Cup
Yesterday, READ MORE β†’